Jumanne, 31 Oktoba 2017

Lini Mtoto wako mchanga ataanza Kuona Vizuri? sir ALMASI

Lini Mtoto wako mchanga ataanza Kuona Vizuri??

Lini Mtoto wako mchanga ataanza kuona Vizuri?Mtoto wako ataanza kuona baada ya miezi kumi na mbili, lakini hapa hatakua anaona vizuri kabisa mpaka afikishe umri wa miaka mitatu mpaka mitano.
Uwezo wa mtoto kuona hukua taratibu kwenye mwaka wake wa kwanzaLini Mtoto wako ataanza kuona Vizuri.
Mtoto wako ataanza kuona baada ya miezi kumi na mbili, lakini hapa hatakua anaona vizuri kabisa mpaka afikishe umri wa miaka mitatu mpaka mitano.
Uwezo wa mtoto kuona hukua taratibu kwenye mwaka wake wa kwanza. Wakati ni mchanga mtoto anaweza kuona mwanga na anaweza kutengeneza nyuso mbali mbali. Baada ya mwezi mmoja baada ya kuzaliwa mtoto anaweza kumungalia mama yake uso kwa uso machoni na kuweza kugundua vitu ambavyo vipo umbali wa inch 12.
Mtoto akifikisha miezi 3 au 4 anaweza kutofautisha vitu mbali mbali na kuwa na uwezo wa kuangalia vitu vidogo vidogo vilivyo karibu yake. Jinsi anavyozidi kukua ndio uwezo wake wa kuona unazidi kukua na anaweza kuona vitu vilivyo umbali wa mita 3 na kuangalia shughuli zinazoendelea karibu yake. Kama utakua unafanya kazi karibu yake utamuona anakufata kwa macho na kugeuza geuza kichwa chake.
Kama mtoto wako hawezi kuangalia vitu vinavyo sogea sogea au shughuli zinazoendelea mbele yake, au anapata shida kuangalia kwenye macho yake akiwa ameshafikisha umri wa miezi minne basi inabidi ukamuone dakitari. Inabidi akangaliwe ili ujue nini tatizo.Wakati ni mchanga mtoto anaweza kuona mwanga na anaweza kutengeneza nyuso mbali mbali. Baada ya mwezi mmoja baada ya kuzaliwa mtoto anaweza kumungalia mama yake uso kwa uso machoni na kuweza kugundua vitu ambavyo vipo umbali wa inch 12.
Mtoto akifikisha miezi 3 au 4 anaweza kutofautisha vitu mbali mbali na kuwa na uwezo wa kuangalia vitu vidogo vidogo vilivyo karibu yake. Jinsi anavyozidi kukua ndio uwezo wake wa kuona unazidi kukua na anaweza kuona vitu vilivyo umbali wa mita 3 na kuangalia shughuli zinazoendelea karibu yake. Kama utakua unafanya kazi karibu yake utamuona anakufata kwa macho na kugeuza geuza kichwa chake.
Kama mtoto wako hawezi kuangalia vitu vinavyo sogea sogea au shughuli zinazoendelea mbele yake, au anapata shida kuangalia kwenye macho yake akiwa ameshafikisha umri wa miezi minne basi inabidi ukamuone dakitari. Inabidi akangaliwe ili ujue nini tatizo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

0656 095 123