Jumatano, 20 Machi 2019

Cheka kidogo

Mlevi na Mkewe
Vichekesho ·

MLEVI mmoja alioa mke. Mkewe 
alikuwa hajatulia hata kidogo. 
Siku moja mkewe akiwa anajivinjari na 
msela, MLEVI akarudi home ghafla. 
mkewe akamwambia yule msela 
Usiondoke, lala hivo hivo mume wangu 
mlevi hatagundua.......Msela akalala 
kweli........basi mlevi akapanda 
kitandani wote watatu wakalala..... 
Baada ya muda kidogo mlevi 
akagutuka, akagundua...
. utofauti hapo 
kitandani, akahesabu miguu na kuona 
ipo sita, akamshtua mkewe,....."mke 
wangu,mbona miguu ipo sita nani 
kalala hapa??".... 
Mkewe akamjibu kwa ukali,.toka hapa 
na pombe zako,miguu sita itoke wap 
hebu shuka kitandani uhesabu vizuri..! 
Mlevi akashuka, akahesabu.. 
MOJA..MBILI..TATU..NNE....AHAA 
KUMBE 
KWELI NILIKOSEA 
KUHESABU,SAMAHAN MKE WANGU!!!

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

0656 095 123